Wednesday, 10 August 2016

Dogo Janja aeleza ujio wa collabo aliyoshirikishwa na msanii kutoka Kenya

Dogo Janja ni msanii wa bongofleva ambaye mwenye Smash hit iitwayo My Life ambayo imekuwa ikifanya vizuri katika vituo mbalimbali. 
.
Staa huyo  kayaongea haya>>>>Prezzo alitaka kufanya remix ya My Life lazima haikuwezekana kwasababu Radio and Weasel walikuwa wamefanya kwahiyo My Life ni wimbo ulionifungulia mipaka kuna collabo nyingine zinakuja’– Dogo Janja
Radio and Weasel wao ndio walitokea kuipenda ile single yangu ya My Life basi wakafanya mawasiliano na Babu Tale wakakubaliana, kwa ambavyo ilivyokuwa pia kwa upande wangu ikashindikana kufanya remix ya hiyo single kwahiyo nilikuwa nimewapanga Maua Sama na G Nako‘- Dogo Janja
‘Kwahiyo kutokana na Prezzo kukosa nafasi ya kuifanya remix ya wimbo wangu wa My Life basi tukakubaliana kuwa atanishirikisha kwenye wimbo wake mpya ambao muda wowote nitaenda Kenya kwaajili ya kushoot video’- Dogo Janja

Source. Millardayo.com


EmoticonEmoticon