Wednesday, 2 November 2016

Nchi 5 nje ya Afrika zenye vijana wengi ambao hawasomi na hawana kazi


Ni orodha kutoka mtandao wa OECD Data uliozitaja nchi tano duniani zenye idadi kubwa ya watu ambao hawasomi, hawana mafunzo ya aina yoyote na hawana kazi.
Data za watu hao zinaonyesha vijana wenye umri wa miaka 20 mpaka 24 ndio wamekuwa wengi zaidi kwenye idadi hiyo, hii ni ripoti ambayo utafiti wake umefanyika mpaka 

 Nchi ya kwanza inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ni Italia, namba mbili ni Uturuki, ya tatu ni Ugiriki ikifuatiwa na Hispania kisha Mexico kama inavyoonekana kwenye hii orodha hapa chini.






EmoticonEmoticon