Wednesday, 20 August 2014

MAN UNITED WAKAMILISHA USAJILI WA MCHEZAJI WAO MPYA.

Marcos Rojo beki wa kiargentina aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya sporting lisbon amethibitisha rasmi kujiunga na kikosi cha lous van gaal. Rojo amejiunga na united kwa ada ya uhamisho wa £16 pamoja na luis nani kwenda kwa mkopo.

Sasa man u kuhamishia nguvu zao kwa di maria wa real madrid.


EmoticonEmoticon